Ni stori ya kuhuzunisha ya Andrés Escobar Saldarriaga (Gentleman), moja ya mastaa waliokumbwa na janga kubwa kuwahi kutokea ...
Lissu ambaye amefikisha siku 33 tangu wajumbe wa mkutano mkuu walipomchagua kuwa mwenyekiti wa chama hicho akimbwaga Freeman ...
Kwa mujibu wa Ripoti ya Global E-Waste Monitor ya mwaka 2019, dunia ilizalisha tani milioni 53.6 za taka za kielektroniki ...
Vatican imesema Papa Francis bado yuko katika hali mahututi, huku vipimo vya damu vikionyesha kuwa ameanza kuonyesha dalili ...
Azam ndio imekuwa ya kwanza kufunga bao katika mchezo wa leo kupitia kwa Gibril Sillah katika dakika ya pili ya mchezo ...
Muda mfupi ujao Simba na Azam FC zitaumana katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam ukiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili ...
Amesema awamu ya kwanza mwaka 2023 walivuna matikiti 11,000 kutoka ekari tisa walizokuwa wamelima na kupata Sh22 milioni ...
Mbali na waliofukuzwa, wanafunzi 19 wamesimamishwa kuendelea na masomo hadi Mei 5, 2025 huku wengine 45 wakisimamishwa kwa ...
Taarifa hiyo imeeleza sababu ya mtalii huyo kupotea ni kutokana na upepo mkali na mawimbi yaliyosababisha boti kuelea.
Kauli hiyo ameitoa leo Februari 24,2025 Dar es Salaam katika mahafali ya 20 ya Chuo Kikuu Cha Aga Khan 2024, ambapo zaidi ya ...
Katika taarifa yake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo amewataja waliokamatwa kuwa ni Yombo Bundala (75) Makame ...
Amesema kifo cha binti yake kimempa maswali mengi huku akiwa hajui kimesababishwa na nini hasa kutokana na mazingira ...